Rais Kikwete akizindua matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi mwaka 2012
Imechapwa tarehe Jan 07 2013 // | Mwandishi: Na Mwandishi Maalum
Rais Kikwete akizindua matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi mwaka 2012, hivi karibuni, jijini Dar es Salaam, ambapo alibainisha kuwa idadi ya watu nchini imefikia milioni 44,929,002.












